Friday, March 28, 2014

UTHIBITISHO WA MANENO YA KINABII KUTOKA KWA MUASISI WA MANABII TANZANIA Mh.Dr. GeorDavie.

     
Mara kwa mara Muasisi wa Manabii Tanzania Mh.Dr. GeorDavie amekuwa akitamka maneno ya Kinabii kwa Watu, Taifa na Dunia kwa ujua na kwa asilimia mia(100%) unabii huo umekuwa ukitimia na kushuhudiwa na watu mbalimbali.

Wednesday, March 26, 2014

EXCLUSIVE NEWS -Muasisi wa manabii Tanzania mh Dr GeorDavie awahudumia watu kwa njia ya mtandao wa Facebook.


Ikiwa ni siku 3 tangu Muasisi wa manabii Tanzania mh Dr GeorDavie aitangaze wiki hii kuwa ni wiki ya kutembea katika neno moja tu la kinabii, mapema leo saa nne asubuhi, amewahudumia watu kwa njia ya mtandao wa kijamii Facebook.

Monday, March 24, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 23-03-2014

   
 Ilikuwa  Jumapili nyimgine ya baraka zaidi pale ambapo maelfu ya waumini wa Huduma ya Ngurumo ya Upako waliweza kufika na kupokea baraka za Mungu chini ya Hema la kukutania Kisongo Arusha ambapo

Sunday, March 9, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 09-03-2014


Ilikuwa juamapili ya baraka na yenye nguvu na Muujiza kwa maelfu ya waumini wa Ngurumo ya Upako walio kusanyika katika Hema la kukutania Kisongo Arusha,

Monday, March 3, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 02-03-2014

Ilikuwa juamapili ya baraka na yenye nguvu na Muujiza kwa maelfu ya waumini wa Ngurumo ya Upako walio kusanyika katika Hema la kukutania Kisongo Arusha .