Sunday, May 11, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 11-05-2014

     Ilikuwa  Jumapili nyimgine ya baraka zaidi pale ambapo maelfu ya waumini wa Huduma ya Ngurumo ya Upako waliweza kufika na kupokea baraka za Mungu chini ya Hema la kukutania Kisongo Arusha ambapo,

Monday, May 5, 2014

IBADA YA JUMAPILI TARE 04-O5-2014

  


Maelfu ya wakazi wa jiji la Arusha na maeneo mbalimbali walikusanyika katika Hema la kukutania Chuo Cha Manabii Kisongo Arusha, ambapo waliweza kupokea na kufunguliwa kutoka katika vifungo mbalimbali vya muovu shetani.