Monday, June 9, 2014

UTHIBITIBISO WA MANENO KINABII ULIOTOLEWA NA MUASISI WA MANABII TANZANIA Mhe.Dr.GeorDavie JUU YA UPATIKANAJI WA MADINI KIRAHISI KWA WACHIIMBAJI(LOLIONDO)


Maelfu ya wakazi  Wilayani Loliondo na maeneo mbalimbali nchini wanaendelea kumiminika katika eneo kulikogundulika kuwa  na madini  aina ya dhahabu katika kijiji cha
mugongo kata Wilayani humo.

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 08-JUNE-2014

       
Ilikuwa jumapili nyingine ya baraka zaidi ambapo maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walikusanyika katika makao Makuu ya huduma hiyo Kisongo Arusha Tanzania na

Thursday, June 5, 2014

CHATU AUWAWA KUTOKA KATIKA NYUMBA YA MTU JIJI ARUSHA

         
Ikiwa imepita takribani miezi miwili tangu Nabii Mkuu na Mwasisi wa Manabii Tanzania Mh.Dk.GeorDavie atangaze ushindi dhidi ya kazi na nguvu zote za wachawi na waganga wa kienyeji, mambo mbalimbali yameelendelea kutimia amabapo ni pamoja na hili la nyoka aina ya