Monday, July 31, 2017

NABII MKUU MH DK. GEORDAVIE: MIMI MAJIRANI ZANGU NI WAISLAMU.

Nabii mkuu Mh. Dk GeorDavie amewataka watu kuwa na upendo kwa majirani zao ikiwa ni pamoja na kusapoti kazi ya Mungu ili iweze kusonga mbele.

Nabii mkuu Mh. Dk GeorDavie ameyasema hayo katika ibada ya jiji iliyofanyika katika hema la kukutania chuo kikuu cha manabii kisongo Arusha ambapo maelfu ya watu kutoka sehemu mbalimbali wamehudhuria ibada hiyo ambayo ilikuwa ya unabii mkuu.

Katika ibada hiyo Nabii Mkuu alifundisha na kutamka matamko mbalimbali

WAZIRI MKUU AAGIZA KUKAMATWA KWA VIONGOZI 12 WA JIJI LA MBEYA KWA KUSABAISHA HASARA YA BILIONI 63

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) iwakamate watendaji 12 wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya wakiwamo aliyekuwa mstahiki meya Athanas Kapuga.

Amesema pia wakamatwe, wakurugenzi watatu, kaimu mkurugenzi, wahasibu wawili na wajumbe wa bodi wanne kwa kuisababishia hasara jiji hilo kiasi cha Sh63 bilioni katika ujenzi wa Soko la Mwanjelwa.
 


MANCHESTER UNITED WAKARIBIA KUMSAINI NEMANJA MATIC KUTOKA CHELSEA.

Mancheter United wanakaribia kumsaini kiungo wa kati wa Chelsea Nemanja Matic
Matic, 28, atakuwa mchezaji wa tatu kusainiwa na Manchester United kwa kima kinachotajwa kuwa paunia milioni 50.
Kuwasili kwake uga wa Old Trafford kutafuatia usajili wa mlinzi Victor Lindelof ambaye aljiunga kwa paunia milioni 31 kutoka Benfica na mshambuliaji Romelu Lukaku ambaye alijiunga kwa kima cha pauni milioni 75 kutoka

WAZIRI MKUU ATOA ONYO KWA WAPIGA DILI.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania siyo lango la kupitishia dawa za kulevya kwenda nchi za nje hivyo ameagiza ulinzi uimarishwe katika mipaka yote ya nchi na kuwa wale watakaobainika watachukuliwa hatua kali.

Majaliwa amesema hayo wakati akizungumza na watumishi wa kituo cha forodha cha Kasumulu kilichopo mpakani mwa Tanzania na Malawi wilayani Kyela,.

Amesema kuwa kunatabia ya baadhi ya watu wasiokuwa waaminifu kuitumia Tanzania kama njia ya kupitisha dawa za kulevya kwa ajili ya kupeleka nchi

TETSI ZA SOKA BARANI ULAYA.



Jose Mourinho amesema Nemanja Matic, 28, "anataka sana" kuondoka Chelsea na kujiunga na Manchester United. Tayari United wamekubali kutoa pauni milioni 40 na wanatarajia kukamilisha usajili huo siku chache zijazo. (Sky)
Beki wa kulia wa Paris Saint-Germain Serge Aurier amekubali kujiunga na Manchester United, kwa mujibu wa taarifa kutoka Ufaransa. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast ameruhusiwa kuondoka na meneja Unai Emery. (Sky Sports)
Ross Barkley
Alexis Sanchez anafikiria kuwasilisha ombi la kuondoka Emirates ili kulazimisha uhamisho wake kwenda Manchester City. Sanchez anataka sana kuondoka, na Pep Guardiola yuko tayari kufanikisha usajili wake. Sanchez anataka mshahara wa pauni 400,000 kwa wiki, na Arsenal wako tayari kutoa

Sunday, July 30, 2017

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO, Jumatatu,Juliy30,2017.


NABII MKUU MH DK GEORDAVIE AENDELEA KUWAHIMIZA WATU KUWA NA UPENDO MIONGONI MWAO.

Nabii mkuu Mh. Dk GeorDavie amewataka watu kuwa na upendo na mshikamano miongoni mwao ikiwa ni pamoja na kurekebishana wanapokosea na siyo kukandamizana.
 
Ameyasema hayo leo wakati akiongoza ibada ya jiji katika hema la kukutania chuo kikuu cha manabii kisongo ambapo maelfu ya watu kutoka sehemu

SIKILIZA IBADA LIVE YA CHUO KIKUU CHA MANABII INAYOONGOZWA NA NABII MKUU MH DK GEORDAVIE.

LEO SIKU YA JUMAPILI NI IBADA YA CHUO KIKUU CHA MANABII INAYOONGOZWA NA NABII MKUU MH DK. GEORDAVIE IKIWA NI IBADA YA UNABII MKUU. FUATILIA MATANGAZO YETU YA MOJA KWA MOJA KUPTIA 99.3 FM RADIO NA KUPITIA MKWENYE MTANDAO WETU WA
www.nyufmradioonline.radio12345.com

WAZIRI MKUU AZINDUA MELI MBILI ZILIZONUNULIWA NA SERIKALI MKOANI MBEYA.

Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa amezindua Meli mbili za mizigo za Mv Njombe na Mv Ruvuma zitakazotumika katika kusafirishia mizigo kwenye Ziwa Nyasa na kuonya kwamba zisitumike kama eneo la kuvushia wahamiaji haramu na dawa za kulevya.
Amesema kuwa kukamilika kwa ujenzi wa Meli hizo zilizogharimu sh. bilioni 11.253 ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dkt. John Magufuli alizozitoa ikiwa na lengo la kutatua changamoto ya usafiri wa abiria na mizigo katika Ziwa Nyasa.
 
Amesema kuwa ni jambo la faraja na la kujivunia kwa Serikali na wananchi kwa pamoja kushuhudia meli zilizotengenezwa na Mtanzania, zikiwa zimekamilika tayari kwa kuanza kazi ya kuwahudumia wananchi, ambapo awali suala hilo

Nyumba ya naibu wa rais Kenya yavamiwa

Watu wasiojulikana wameshambulia nyumba ya mashambani ya naibu wa rais wa Kenya William Ruto magharibi mwa Uasin Gishu kaunti, ripoti zinasema.

Afisa wa kampuni ya Acacia azuiliwa kwa muda Tanzania

Afisa mmoja wa kampuni ya uchimbaji madini kutoka Canada Acacia alizuiliwa kwa muda nchini Tanzania alipouwa akijaribu kulitoroka taifa hilo , kampuni hiyo iemsema katika taarifa.


MAREKANI NA KOREA KUSINI WAJIPANGA KWAAJILI YA KOREA KASKAZINI.

Wizara ya ulinzi ya Korea Kusini imesema kuwa Marekani itaweka zana maalumu za ulinzi Korea Kusini kama hatua ya ilani muhimu kwa Korea Kaskazini ambayo imefanya zoezi la kombora la masafa marefu la kutoka bara moja hadi jingine katika jaribio la pili sawa na hilo chini ya muda wa mwezi mmoja.

Saturday, July 29, 2017

NEC YAZUNGUMZIA KUHUSU CUF.


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefafanua juu ya uteuzi wa wabunge wapya wa Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi (CUF).

TRUMP NAYE ANZA KUTUMBUA .


Rais Donald Trump wa Marekani amemteua Waziri wa Mambo ya Ndani, John Kelly kuwa mkuu wa utumishi wa Serikali baada ya kumwachisha kazi Reince Priebus.

MWENYEKITI WA KITONGOJI ALA RUSHWA YA SH 20,000 YAMPA ADHABU YA SH 500,000


Mwenyekiti wa Kitongoji cha German, Kijiji Machochwe wilayani hapa Mkoa wa Mara, Ibrahim Magere amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya Sh500,000 kwa kosa la kuomba rushwa ya Sh20,000.

KATIKA SIASA MAALIM ATETA TENA JUU YA TANZANIA NI KWELI ASEMAYO


Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kujaza nafasi nane za ubunge wa viti maalumu za CUF, kambi ya katibu mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad imesema bado inawatambua wabunge waliovuliwa uanachama na kambi pinzani na kutaka jumuiya ya kimataifa iiwekee vikwazo Tanzania.

KOREA KASKAZINI YAREJEA TENA KWA KUTEST KOMBORA HATARI ZAIDI

Korea Kaskazini imesema kuwa imefanikiwa kufanya jaribio la kombora lake la  pili la masafa marefu ICBM, huku ikitoa onyo kali kwa Marekani kuwa inauwezo wa kushambulia eneo lolote lililopo nchini humo.

Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema kuwa jaribio hilo limebaini kuwa Marekani yote ipo katika rada ya Korea Kakazini na sasa inaweza kushambuliwa wakati wowote kwa makombora hayo.

Mahakama Yaamuru Harbinder Singh Sethi Akatibiwe Muhimbili


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru mshtakiwa, Harbinder Singh Sethi apelekwe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kupata huduma ya matibabu.

MAGAZETI YA JUMAMOSI YA LEO TAREHE 29/07/2017


DANGOTE APOROMOKA KATIKA NAFASI ZA WATU MATAJIRI DUNIANI CHANZO NI NINI?

Bilionea raia wa Nigeria Aliko Dangote ameporomoka kwenye nafasi za watu tajiri duniani hadi 105 kutoka nafasi ya 51. 

LHRC Yasikitika Wabunge wa CUF Kuenguliwa Huku Kukiwa Bado Kuna Kesi Mahakamani


Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, (LHRC) kimetoa taarifa yake kwa vyombo vya habari kikisikitishwa na jinsi Bunge, lilivyotengua uteuzi wa wabunge wa viti Maalum juzi.


Friday, July 28, 2017

FORBES YAORODHESHA MATAJIRI KUMI WANAOONGOZA DUNIANI, JEFF BEZOS AMPITA BILL GATES.

Mwanzilishi wa Kampuni ya Amazon, Jeff Bezos amempita Bill Gates na kuwa tajiri namba moja duniani akimiliki utaji wa dola za kimarekani 90.6 bilioni (Tsh 203 trilioni).

Kupanda wa hisa za Amazon kwa asilimia 1.5 leo Alhamisi Julai 27 kulimaanisha kuwa tajiri huyo amempita mwanzilishi mwenza wa Microsoft, kwa mujibu wa taarifa za jarida la Forbes la nchini Marekani.
 
Forbes wameeleza kuwa Bezos ana utajiri wa $90.6 bilioni akimzidi Bill Gates aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo akiwa na utajiri wa $90 billioni sawa na Tsh

BARRICK (ACACIA) WAKUBALI YAISHE.....WIKI IJAYO WATAANZA MAZUNGUMZO NA SERIKALI

Kampuni ya Barrick Gold ya nchini Canada, imesema wiki ijayo timu ya wataalamu wake watakuja nchini kwa ajili ya kufanya mazungumzao na Serikali kuhusu uendeshaji wa migodi yake.
Tamko hilo limekuja siku chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutangaza kuwa iwapo Barrick inayoimiliki Kampuni ya Acacia itachelewa kuja kufanya mazungumzo ataifunga migodi yao.
Wakati kampuni hiyo ikijiandaa kuja nchini, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) tayari imepeleka madaia ya Dola za Marekani bilioni 190 ambazo ni sawa na Sh trilioni 424), kwa Kampuni ya Acacia, ikiwa ni malimbikizo ya kodi kutoka mwaka 2000.
 
Taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa Financial Post juzi ilisema. “Kampuni ya Barrick Gold kupitia ripoti yake ya robo mwaka imesema itaanza majadiliano na Serikali ya Tanzania wiki ijayo kuhusu marufuku ya kusafirisha nje madini na

Thursday, July 27, 2017

RAIS MAGUFULI AMVAA MBUNGE WA CCM MOROGORO AMTAKA ARUDISHE VIWANDA. PIA KASEMA MACHINGA STENDI YA MSAMVU WASISUMBULIWE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amebadilikia Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood na kumtaka arudishe viwanda mbalimbali ambavyo alibinafsishiwa na serikali kama ameshindwa kuviendesha. 
Rais Magufuli amesema hayo leo alipokuwa Morogoro mjini na kuwataka watu waliobinafsishiwa viwanda na serikali mkoani humo na wameshindwa kuviendesha wavirudishe kwa serikali ili serikali iweze kuwapa watu wengine

IBADA LIVE YA CHUO KIKUU CHA MANABII.

LEO SIKU YA ALHAMIS NI IBADA YA CHUO CHA MANABII FUATILIA MATANGAZO YETU YA MOJA KWA MOJA KUPTIA 99.3 NA KUPITIA MKWENYE MTANDAO WETU WA
www.nyufmradioonline.radio12345.com

WATU WAALIKWA KUHUDHURIA IBADA YA CHUO CHA MANABII HII LEO.

Huduma Ya Ngurumo Ya Upako Duniani siku ya leo kutafanyika ibada ya Chuo Cha Manabii inayoanza kuanzia smuda wa saa sita mchana {12:00} ambapo watu mbalimbali wamealikwa kuhudhuria ibada hiyo.

Akizungumza na N.Y.U Radio Kadinali wa tatu wa Huduma ya ngurumo ya upako Mchungaji Zimani Gervas amesema kuwa ni vyema watu wakahudhuria ibada hiyo kwani watu mbalimbali wameponywa na kuwa huru ikiwa ni pamoja na

ISRAEL YAONDOA HATUA ZOTE ZA KIUSALAMA MJINI JERUSALEM.



Hatua zote za kiusalama zilizoweka hivi majuzi mjini Jerusalem, zilizozua maandamano kutoka kwa wapalestina zimeendolewa kwa mujibu wa polisi nchini Israel.
Viongozi wa dini katika utawala wa Palestina sasa wataacha kususia eneo hilo takatifu.
Lorry removes scaffolding from outside Jerusalem holy site (27/07/17)
Vizuizi hivyo viliendelelea leo asubuhi, siku mbili baada ya mitambo wa kutambua chuma kuondolewa.
Mzozo uliibuka baada ya kuliwa kwa polisi wawili wa Israel karibu wiki mbili

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO, Alhamis,July27,2017


Wednesday, July 26, 2017

MAREKANI KUZIWEKEA WIKWAZO URUSI, IRAN NA KOREA KASKAZINI.



Baraza la wawakilishi la Marekani limepiga kura kuweka vikwazo vipya dhidi ya Urusi, Iran na Korea Kaskazini.
Urusi inaadhibiwa kutokana na kudaiwa kuingilia uchaguzi mkuu wa mwaka jana wa Marekani huku Korea Kaskazini na Iran wao wakiadhibiwa kufuatia majaribio ya makombora.
Muswada huo unatarajiwa kupitia kwa baraza la seneti kabla ya kupelekwa kwa Rais Trump ili audhinishe na kuwa sheria kamili.
Putin na Trump kwa pamoja wamekana Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani
Akizungumza katika baraza hilo wawakilishi David Ciciline kutoka chama

RAIS MAGUFULI AKAMILISHA ZIARA YAKE YA SIKU 7 KATIKA MIKOA YA KAGERA, KIGOMA,TABORA NA SINGIDA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Julai, 2017 amekamilisha ziara yake ya kikazi ya siku 7 katika Mikoa ya Kagera, Kigoma, Tabora na Singida kwa kufungua barabara ya Itigi – Manyoni Mkoani Singida.

Barabara hiyo inayounganisha Mikoa ya Singida, Tabora na Kigoma ina urefu wa kilometa 89.3 na imejengwa gharama ya Shilingi Bilioni 114.692, fedha ambazo zimetolewa na Serikali ya Tanzania.

Akizungumza na wananchi wa Itigi katika sherehe za ufunguzi wa barabara hiyo Mhe. Rais Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli, amesema Watanzania wana kila sababu ya kutembea kifua mbele kwa kuwa barabara hiyo pamoja na nyingine saba alizozifungua katika ziara hii zenye urefu wa jumla ya kilometa 707 zimejengwa kwa gharama ya Shilingi

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO. Jumatano,July26,2017.


Tuesday, July 25, 2017

WATU WATAKIWA KUWA NA UNYENYEKEVU WA KUTII MAAGIZO.

.Watu wametakiwa kuwa wanyenyekevu kwa kutii maagizo yanayotolewa na  Nabii Mkuu Mheshimiwa  Dk  GeorDavie  ili kufanikiwa katika  changamoto wanazopitia mashani.

Hayo yamesemwa na watumishi wa ngurumo ya upako wakati wakihubiri katika 

IBADA LIVE YA CHUO KIKUU CHA MANABII.

LEO SIKU YA JUMANNE NI IBADA YA CHUO CHA MANABII FUATILIA MATANGAZO YETU YA MOJA KWA MOJA KUPTIA 99.3 NA KUPITIA MKWENYE MTANDAO WETU
www.nyufmradioonline.radio12345.com

...

TANZANIA YAKANA KUINGILIA UCHAGUZI WA KENYA.





Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzanian imekanusha madai kwamba inaisaidia chama cha upinzani nchini Kenya cha Muungano wa NASA ili kuwekwa kwa kituo cha kuhesabia kura nchini Tanzania.


WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO MAZITO KWA WAKUU WA MIKOA YA MBEYA NA SONGWE .





Katika kuhakikisha kuwa Serikali inamaliza migogoro ya ardhi baina ya wananchi na wawekezaji, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amewaagiza wakuu wa mikoa ya Mbeya na Songwe kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka sita, kati ya uongozi wa Kiwanda cha Saruji Mbeya na wananchi wa kijiji cha Nanyala, Wilayani Mbozi.



MAGUFULI :NITATEUWA MWINGINE WA UPINZANI AWE WAKILI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli amefunguka na kuahidi kuwa bado ataendelea kuchomoa baadhi ya watu katika vyama vya siasa nchini huku akisema ataacha vilaza tu kwenye vyama hivyo



IRINGA ACHENI MAJUNGU FANYENI KAZI KUKUZA KIPATO CHENU: DC ASIA ABDALLAH :



Mkuu wa wilaya ya kilolo Asia Abdallah aliwataka wananchi wa Mkoa wa Iringa kuishi bila kuwa na majungu kwa sababu majungu yanarudisha nyuma maendeleo.
Hayo yamesemwa wakati wa hotuba ya uchaguzi wa kuwapa viongozi wapya wa timu ya Lipuli katika ukumbi wa shule ya sekondari ya mwembetogwa ulipo Manispaa ya Iringa.

Monday, July 24, 2017

MAGAZETI YA JUMANNE YA LEO 25/07/2017 KWA ASUBUHI HII.


MSIKILIZE NABII MKUU TZ MH DK GEORDAVIE SASA HIVI LIVE .

SASA MSOMAJI WETU UNAWEZA KUFUATILIA  MOJA KWA MOJA LIVE KIPINDI CHA MAGURUDUMU SAPOTI AMBAPO NABII MKUU TANZANIA  MH DK GEORDAVIE PAMOJA NA MCHUNGAJI KIONGOZI W MAMA ANNA DAVIE .

NABII MKUU MH DK. GEORDAVIE USIKU WA LEO ANATARAJIA KUWEPO RADIO LIVE.

Nabii Mkuu Mh Dk. Geordavie pamoja na mchungaji kiongozi Mama Anna Davie wanatarajiwa kuwepo radioni leo majira ya saa mbili na nusu hadi saa tatu na nusu  usiku katika kipindi cha kusapoti magurudumu ya radio.  
 

Pia katika kipindi hicho Mh. Nabii Mkuu atafafanua kuhusu ujio wake wa Jumapili

TANZANIA NA KENYA KUONDOLEANA VIKWAZO VYA KIBIASHARA.

Mataifa ya Tanzania na Kenya yalifanikiwa kuandaa mkutano ambao utapelekea kuondolewa kwa marufuku ya bidhaa zinazoingia katika mataifa hayo mawili kutoka pande zote mbili.
Waziri wa maswala ya kigeni na ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga alitangaza uamuzi huo jijini Nairobi kufuatia majadiliano kati ya rais John Pombe Magufuli wa Tanzania na Uhuru Kenyatta wa Kenya.
Flag of Tanzania | Tanzania | Tanzania Flag
Na kufuatia hatua hiyo Kenya itaondoa marufuku ya Unga wa ngano na Gesi inayoingia nchini humo kutoka Tanzania huku Tanzania nayo ikiondoa marufuku

NABII MKUU MH DK. GEORDAVIE: NAWAOMBA WANANGU MUWE NA MOYO WA KUSAMEHE.

Nabii mkuu Tz Mh Dk. GeorDavie amewataka watu kuwa na moyo wa kusamehe pale wanapokoseana ikiwa ni pamoja na kuwa na umoja ili waweze kusimama imara katika maeneo mbalimbali maishani.
Nabii Mkuu Tz Mh Dk. GeorDavie ameyasema hayo jana katika ibada ya jiji iliyofanyika katika hema la kukutania chuo kikuu cha manabii kisongo Arusha ambapo ilikuwa siku ya Jumapili ya kusanyiko

Pia katika mafundisho yake Nabii Mkuu Mh Dk. GeorDavie amewataka watu popote wanapokwenda wasiache kuikumbuka nguvu ya mungu iliyowainua kwani

MENDY ATUA MAN CITY NA KUWA BEKI GHALI ZAIDI DUNIANI

Beki Benjamin Mendy amekamilisha uhamisho wa paundi milioni 52 kutoka Monaco na kutua Manchester City na kuwa beki ghali duniani.

Beki huyo wa kushoto wa Ufaransa mwenye miaka 23 ametia saini mkataba wa miaka mitano na Manchester City.
 

Mendy anakuwa mchezaji wa tano kusajiliwa na Manchester City katika kipindi 

INTERNATIONAL CHAMPIONS CUP: MAN U YAINYUKA REAL MADRID.

Kwenye Mechi ya International Champions Cup iliyochezwa Levi’s Stadium, Santa Clara, California, USA, Manchester United na Real Madrid zilitoka Sare 1-1 katika Dakika 90 za Mchezo na Mshindi kupatikana kwa Mikwaju ya Penati ambapo Man United walishinda kwa Penati 2-1.
Man United walifunga Bao Dakika ya 46 ya Kipindi cha Kwanza baada Anthony Martial kuwapita Mabeki Watatu na kumpa Mpira Jesse Lingard alieukwamisha Mpira wavuni.
Manchester United yaizamisha Real Madrid kwa mikwaju ya penalti
Hadi Haftaimu, Man United 1 Real Madrid 0.
Kipindi cha Pili kilianza kwa Timu zote kubadili Vikosi vyao.
Katika Dakika ya 52, Man United walilazimika kumtoa Ander Herrera

RAIS MAGUFULI ATANGAZA KIAMA KWA WALIOJENGA BARABARANI

Rais John Magufuli amesema kwamba waliojenga nyumba kwenye hifadhi za barabara na reli wajiandae kisaikolojia kwani ni lazima waondoke.

Rais amesema Wananchi wa Kaliua wanahitaji maendeleo hivyo ikiwa nyumba zipo kwenye hifadhi ya barabara au reli zibomolewe haraka ili kuleta maendeleo ya nchi.
 
Alisema kwamba kuna sheria hivyo lazima zisimamiwe na lazima zifuatwe,

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO, Jumatatu,July24,2017.


TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA.

Mshambuliaji wa Barcelona Neymar, 25, amewaambia wachezaji wenzake, Lionel Messi na Luis Suarez, kuwa atabakia Barca baada ya wawili hao kumshawishi kutojiunga na Paris Saint-Germain kwa uhamisho utakaovunja rekodi ya dunia wa pauni milioni 200. (Sport)
Cristiano Ronaldo amemtaka Neymar kutohamia PSG na kusubiri kwenda Manchester United wakati utakapowadia. (Diario Gol)
Marco Verratti
Meneja wa Inter Milan Luciano Spalletti ameionya Manchester United kwa kusema watoe pauni milioni 48 kama wanamtaka Ivan Perisic, vinginevyo

Sunday, July 23, 2017

RAIS MAGUFULI: ALIYEMUITA KAFULILA TUMBILI YEYE NDIYE TUMBILI KWA IPTL.

Rais wa Jamuhuri wa Muungano Wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amempongeza aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na namna alivyojitoa katika kutetea maslahi ya Watanzania kwenye sakata la Escrow(IPTL) na kuonesha uzalendo mkubwa ambao hawezi kusahaulika katika historia ya Tanzania.
Rais Magufuli ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wakazi wa Kata ya Nguruka katika hafla ya uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji uliopo Tarafa ya Nguruka katika Wilayani Uvinza ambapo alisema kuwa akiondoka hapo bila