Wednesday, October 25, 2017

MAHAKAMA YA JUU NCHINI KENYA KUSIKILIZA KESI YA WAPIGA KURA WATATU.



Mahakama ya juu nchini Kenya leo Jumatano itasikiliza kesi ya dharura iliyowasilishwa na wapiga kura watatu dakika za mwisho wakidai kuwa Kenya haiko tayari kufanya uchaguzi huo.
 Wakenya wana hisia mgawanyiko kuhusu iwapo watashiriki uchaguzi wa marudio
Mahakama imeombwa kuingilia kati na kuamua - iwapo uchaguzi wa marudio

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO, Alhamis, Oct25,2017


Tuesday, October 24, 2017

Waziri Mwakyembe mgeni rasmi mkutano wa viongozi wa dini


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe atakuwa mgeni

Tuzo za Mawaziri na Wabunge watakaofanya vizuri zazinduliwa

Umoja wa Mataifa wataka wapinzani 30 kuachiwa huru DRC

Wapinzani wakiandamana nchini DR Congo
Umoja wa mataifa umetoa wito ya kuachiwa mara moja kwa watu 30, wa chama kikuu cha upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kutoka korokoroni.

Ndoa za utotoni zakithiri Afrika Magharibi na Kati

bi harusi mtotoLicha ya kuwepo kwa upungufu wa kesi za ndoa za utotoni, nchi za Afrika Magharibi na Kati zimeshuhudia ongezeko la ndoa za utotoni.

Maisha ya pacha waliozaliwa wameshikana hatarini Gaza.


Palestinian conjoined twins lie in an incubator at the nursery of the Shifa Hospital in Gaza City (02 October 2017)

Maisha ya watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameshikana yako hatarini iwapo hawataondolewa ukanda wa Gaza, kwa mujibu wa madaktari.
Alam Abu Hamna kutoka hspitali ya Shifa, ilisema kuwa hali inayowakumba watoto hao wasichana ni ngumu na kwamba haiwezi kutatuliwa na madaktari wa hospitali zilizo ukanda wa Gaza.

RAIS WA TFF "AMUUMA SIKIO" KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE YA SWEDEN



Kocha Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Sweden, Mariane Sundhage  Oktoba 23, 2017 amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Kebwe Stephen Kebwe katika Ofisi ya Mkoa na kufanya mazungumzo yenye lengo la kuboresha soka la wanawake nchini.

KAULI YA PROFESA LUOGA BAADA YA KUTEULIWA KUWA GAWANA WA BOT

Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga amesema amepokea kwa heshima kubwa dhamana aliyopewa na Rais John Magufuli na anatambua changamoto za nafasi hiyo.



Profesa Luoga ambaye ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) - Taaluma, amesema leo Jumatatu Oktoba 23,2017 kuwa

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO Jumanne,Oct24,2017


Monday, October 23, 2017

JESHI LA POLISI LAKABIDHIWA MAGARI 18 YA KISASA YALIYOKUWA MABOVU.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Paul Makonda jana Oktoba 22 amekabidhi Magari ya kisasa 18 kati ya 26 yaliyopelekwa Mkoani Kilimanjaro yakiwa Mabovu (Mkweche) kwaajili ya kufufuliwa upya.

Magari hayo yalipelekwa Kilimanjaro yakiwa yamebebwa kutokana na ubovu lakini sasa yanarejea Dar es Salaam

Rais Magufuli Ataka Wanaopika Data za Uongo Wahughulikiwe

Rais John Pombe Magufuli amefunguka na kuvitaka vyombo vya dola nchini viwashungulikiwe watu ambao wamekuwa wakipika data za uongo za serikali na kuzichapisha sehemu mbalimbali na kusema watu hao wanapaswa kufikishwa mahakamani.

Sunday, October 22, 2017

KIGWANGALA AFUTA VIBALI VYOTE VITALU VYA UWINDAJI.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla amefuta vibali vyote vya uwindaji kwa kampuni kuanzia  Oktoba 22,2017 na kutoa siku 60 kwa watendaji ili waratibu mchakato upya utakaowezesha vitalu kugawiwa kwa mnada.

Dk Kigwangalla pia amemwagiza katibu mkuu wa wizara hiyo, ndani ya muda

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO,JumatatuOct23,2017.


Thursday, October 19, 2017

Kikwete Amfariji Tundu Lissu

IBADA YA CHUO CHA MANABII SIKU YA ALHAMISI YA LEO TAREHE 19/10/2017 IBADA ILIYOONGOZWA NA MCHUNGAJI KIONGOZI WA HUDUMA YA NGURUMO YA UPAKO MAMA ANNA DAVIE .

MCHUNGAJI KIONGOZI WA HUDUMA YA NGURUMO YA UPAKO MAMA ANNA DAVIE

Watu wametakiwa kuyatumia maneno ya mungu ili yaweze kuwainua katika maeneo mbalimbali maishani.

RAIS MAGUFULI AMTUMIA UJUMBE MFALME WA OMAN.

Rais John Magufuli leo Oktoba 18, 2017 amemtumia ujumbe Mfalme wa Oman Mtukufu Sayyid Qaboos bin Said Al Said na wawekezaji wengine wa Oman kuwa atafurahi kuona wanakuja kuwezeka nchini tena kwa haraka na kudai serikali itatoa ushirikiano.



Rais ametuma ujumbe huo kwa mfalme wa Oman kupitia kwa Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Mhe. Dkt. Mohammed Hamad Al Rumhy

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO. Alhamis,Oct19,2017


Tuesday, October 17, 2017

Mahakama Kuu Kenya yaondoa zuio la maandamano


Mahakama Kuu nchini Kenya imeondoa kwa muda zuio la maandamano ya muungano wa vyama vya upinzani nchini humo (NASA) katika miji ya Nairobi, Mombasa na Kisumu lililowekwa na Serikali.

Akari Aliyekuwa Akifanya Mapenzi na Mfungwa Ajinyonga

Askari mmoja  wa Chuo cha Mafunzo ya Wafungwa cha Losperfontein, nchini Afrika Kusini amejinyonga hadi kufa mara baada ya kuzagaa kwa picha zilizomwonyesha akimpiga busu mfungwa kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii .

USIOGOPE KUISHI MAISHA YA USHINDI KWANIMUNGU YUPO PAMOJA NAWE.

                                                KWA PICHA ZAIDI TAZAMA  ZAIDI.


Monday, October 16, 2017

VIONGOZI NRM WAKATAA KUFUTWA UKOMO WA RAIS

Viongozi wa chama tawala cha National Resistance Movement (NRM) mjini Buzaaya, Wilaya ya Kamuli mwishoni mwa wiki walipiga kura kupinga kufutwa ukomo wa umri wa rais kwenye Katiba.

Msimamo huo umekuja baada ya baraza la wazee kusema wabunge wanaoshinikiza

WAZIRI KUPELEKA BUNGENI MAOMBI UMRI WA KUSTAAFU MAPROFESA UONGEZWE.



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika amesema ana mpango wa kupeleka bungeni maombi ya kuongezwa muda wa kustaafu maprofesa. 
Amesema umri wa kustaafu kwa sheria unawafanya wasomi hao washindwe kutumika vizuri kulijenga Taifa, hivyo ataomba wastaafu wakiwa na umri wa miaka 65 badala ya 55.
 
Mkuchika amesema hayo leo Jumatatu Oktoba 16, alipotembelea ofisi za

WAZIRI MKUU AWAONYA MAWAZIRI



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya mawaziri na kuwataka watumie madaraka yao kwa manufaa ya Taifa na kamwe wasiyatumie kama fursa ya kujitajirisha wao binafsi. 
Kassim Majaliwa amesema hayo leo Oktoba 16, 2017 alipozungumza na baadhi ya Mawaziri, Manaibu na Makatibu Wakuu katika kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam. 
Aidha Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais Dkt. John Magufuli amesisitiza

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO Jumatatu, Oct16,2017


Wednesday, October 11, 2017

JAMBAZI ATANDIKWA RISASI NA WENZAKE MBELE YA POLISI

Mkazi wa jijini Dar es Salaam, Robert Massawe (51), ambaye polisi wanadai ni mtuhumiwa wa uporaji na mauaji, ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodaiwa kuwa ni wahalifu wenzake.
Kabla ya kuuawa katika majibizano ya risasi, mtuhumiwa huyo anadaiwa alikamatwa akiwa na SMG yenye risasi 24, simu 19 zilizoporwa maeneo mbalimbali na laini za simu 58.
Taarifa iliyotolewa jana Jumanne na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro,

18 WATIWA MBARONI KWA MAUAJI

Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Tarime na Rorya mkoani Mara, linawashikilia watu 18 kwa tuhuma za mauaji baada ya kumshambulia kisha kumchoma mishale yenye sumu mkazi mmoja wa kitongoji cha Mwara Bw. Magige Mesenda na kusababisha kifo chake.
 

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO Jumatano,Oct11,2017.


Tuesday, October 10, 2017

IPO SIRI KUBWA NDANI YA UPAKO ANAOTUMIKA NAO MTU:NABII MKUU MH DK. GEORDAVIE.

LOS ANGLES, MAREKANI
Nabii mkuu Mh Dk. GeorDavie Amewataka watu kutambua kwamba ipo siri kubwa ndani ya upako anaotumika nao mtu, huku akieleza kuwa siri hiyo ni kati ya mwenye upako na Mungu pekee.
Nabii mkuu ameyase hayo wakati akifundisha katika ibada ya Jumapili katika

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO Alhamis, Oct10,2017.


Thursday, October 5, 2017

IGP SIRRO AUNDA KAMATI YA KUCHUNGUZA MIILI ILIYOOKOTWA BAHAHIRI

Inspekta Jenerali wa Polisi, Simon Sirro amesema wameunda timu ya wataalamu kuchunguza miili iliyookotwa na sampuli kutoka miili hiyo zimechukuliwa.
Amesema iwapo kuna watu ambao ndugu zao wamepotea ni vyema wakafika katika ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kwa ajili ya vipimo na kufanyika upelelezi.

MCHUNGAJI KIONGOZI WA NGURUMO YA UPAKO MAMA ANNA DAVIE KUONGOZA IBADA YA CHUO CHA MANABII HII LEO.
















Mchungaji kiongozi  wa huduma ya Ngurumo ya upako Mama Anna Davie anatarajiwa kuongoza ibada chuo cha manabii itakayofanyika siku ya kesho kuanzia saa sita kamili mchana katika hema la kukutania kisongo Arusha.

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO Alhamisi,Oct05,2017.


Wednesday, October 4, 2017

NABII MKUU DK. GEORDAVIE KUHUDUMIA MAREKANI JIMAPILI YA TAR 8 MWEZI HUU.



LOS ANGELES, MAREKANI 

Nabii mkuu mh Dr GeorDavie jumapili hii anatarajiwa kuongoza ibada ya kinabii Nchini marekani katika tawi la Ngurumo ya Upako Los Angeles.















Akitoa taarifa kuhusu ibada hiyo msimamizi wa tawi hilo Mtume Katherin,