Saturday, October 13, 2018

Waziri Mkuu Aitisha Nyaraka Za Uendeshaji Soko La Kibaigwa.....Ni baada ya wafanyabiashara na mbunge kulalamikia uendeshwaji wake

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wasimamizi na waendeshaji wa Soko la Kimataifa la Mazao Mchanganyiko la Kibaigwa pamoja viongozi wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) kufika ofisini kwake Oktoba 22, 2018 wakiwa na nyaraka zote zinazoonesha uendeshaji wa soko hilo.

Taifa Stars Yapigwa 3-0 Na Cape Verde

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'  jana usiku kimekubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Cape Verde  na sasa kitalazimika kuanza kupiga mahesabu ya mataifa yaliyopo kundi L ili kuona kama kinaweza kufuzu fainali za AFCON 2019 nchini Cameroon.

MAGAZETI YA LEO OCTOBER 13.

JOEL LWAGA Feat CHRIS SHALOM UMEJUA KUNIFURAHISHA OFFICIAL VIDEO