Monday, August 3, 2026
UNAPOKUWA NA MOYO WA KUSHUKURU MUNGU ANAKUONGEZA AFYA, NGUVU, UWEZO NA FAIDA YA KUISHA NA WATU.
Imeelezwa kuwa unapokuwa na moyo wa kushukuru Mungu anakuongeza afya, nguvu, uwezo na faida ya kuisha na watu katika maisha yako.
Hayo yamesemwa na mchungaji kiongozi mama Anna Davie katika ibada ya chuo kikuu cha Manabii iliyofanyika jana katika nyumba ya matamko kisongo Arusha ambapo ilikuwa ni ibada ya shukrani kuu mbele za Mungu.
Naye Askofu Msaidizi Ken Davie alipata nafasi ya kuzungumza katika ibada hiyo na amesema kuwa kila mmoja na wajibu wa kuupendezesha ufalme wa Mungu huku akiongeza kuwa hata shukrani zetu zinatakiwa ziwe harufu nzuri kwa mungu.
Mtume Rose Abel alitapanafasi ya kuhubiri na amemtaka kila mtu kuwa na utaratibu wa kumshukuru mungu hata anapopitia changamoto mbalimbali katika maisha.
Friday, July 31, 2026
RAIS SAMIA KUFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ANGOLA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka nchini, kuelekea Luanda, Angola ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya Uzinduzi wa Hospitali iliyopewa jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, tarehe 31 Julai.









%20Instagram.png)
%20Instagram.png)
%20Instagram.png)




















%20Instagram.png)






















