Thursday, January 29, 2015

IBADA YA CHUO CHA UPONYAJI TAREHE 29/January/2015





Maelfu ya wakazi wa jiji la Arusha na wale wanaoamini Nguvu ya Kinabii  wametengwa na kila kusudi baya la shetani katika mambo mbalimbali maishani.
Hayo yamefanyika katika Chuo Cha Uponyaji katika hema la kukutania la Ngurumo ya Upako Chuo Cha Manabii Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.

Monday, January 26, 2015

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 25/01/2015.




Jamii nchini imetakiwa kutambua mchango wa wazazi wao bila kujali kiwango cha msaada waliuopata kutoka kwao.

Friday, January 23, 2015

IBADA YA CHUO CHA UPONYAJI TAREHE 22/January/2015.





Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Ngurumo ya Upako duniani Nabii Mkuu Mh.Dr.GeorDavie amewabariki maelfu ya watu kwa kuwaingizia kitu cha Kimungu ambacho pia kitawasaidia kumtafuta Mungu.