Kisiwani Mafia Tanzania, Mafuta ya
petrol na dizeli huuzwa kwa reja reja katika vibanda, huku kukiwa hakuna
sheli ya mafuta kwa ajili ya mahitaji ya matumizi ya watu wenye vyombo
vya usafiri kisiwani humo.
Ofisi
ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema changamoto iliyopo
katika kupata taarifa sahihi za Wazanzibar wanaopata ajira katika
Taasisi za Muungano anuani ya makazi.
Rwanda imetangaza
mpango wa ushirikiano na timu ya Arsenal inayocheza ligi kuu ya
England.Ushirikiano huo wa miaka 3 unalenga kuimarisha sekta ya utalii
nchini Rwanda,uwekezaji na maendeleo ya mchezo wa soka.
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Augustine Mahiga
amesema Watanzania waishio nje ya nchi wanatuma zaidi ya Sh trilioni
moja nchini kwa mwaka.
NAIBU
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto dkt. Faustine
Ndugulile amethibitisha kuwa hakuna mtu aliyethibitika kuwa na ugonjwa
wa EBOLA hapa nchini wala hakuna ugonjwa huo hapa Tanzania.
Maofisa
watatu wa Kituo cha Uwekezaji cha nchini (Tanzania Investment Center
(TIC) wamefariki dunia katika ajali ya gari usiku wa kuamkia jana Mei
22, 2018 maeneo ya Chalinze wakiwa njiani kuelekea jijini Dodoma.
Mbunge
wa Muleba Kusini(CCM), Profesa Anna Tibaijuka ameitaka serikali ya
awamu ya tano iwajibike kuwanunulia ng'ombe wafugaji walioshinda kesi
zao Mahakamani kama sheria inavyosema nasio vinginevyo.
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa
matamshi yanayokinzana na ya mshauri wake wa masuala ya usalama wa
taifa, akisema mfumo wa Libya wa kumaliza zana za nyuklia hauwezi
kutumiwa nchini Korea Kaskazini.