Wednesday, May 30, 2018

Petroli yasafirishwa kwa chupa kutoka Dar es Salaam hadi Mafia

Vibanda vya kuuza mafuta kama hivi vimekuwa msaada mkubwa kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri 
Kisiwani Mafia Tanzania, Mafuta ya petrol na dizeli huuzwa kwa reja reja katika vibanda, huku kukiwa hakuna sheli ya mafuta kwa ajili ya mahitaji ya matumizi ya watu wenye vyombo vya usafiri kisiwani humo.

Walioshtakiwa ulaji rushwa Kenya kukaa rumande wiki moja

Mkurugenzi Mkuu wa NYS Richard Ndubai akiwa mahakamani Jumanne 
Watuhumiwa 24 walioshtakiwa kuhusiana na kashfa ya ufujaji wa pesa katika Shirika la Vijana wa huduma kwa Taifa (NYS) watakaa rumande kwa wiki moja.

Bashiru Ali Kakurwa atangazwa kuwa katibu Mkuu mpya wa CCM

Rais Magufuli na Bashiru Ali Katibu Mkuu mpya wa CCM 
Kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM nchini Tanzania imemteua Dkt. Bashiru Ali Kakurwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Lugola Akiri Changamoto Upatikanaji Taarifa Sahihi Za Wazanzibar


Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema changamoto iliyopo katika kupata taarifa sahihi za Wazanzibar wanaopata ajira katika Taasisi za Muungano anuani ya makazi.

Wednesday, May 23, 2018

Rais Trump atilia shaka mkutano adimu na kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-un

Rais Trump



Rais Trump ametilia shaka kufanyika mkutano adimu na kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-un mwezi june huko Singapore .

Rwanda kushirikiana na Arsenal kuimarisha utalii

Arsenal kutangaza utalii wa Rwanda




Rwanda imetangaza mpango wa ushirikiano na timu ya Arsenal inayocheza ligi kuu ya England.Ushirikiano huo wa miaka 3 unalenga kuimarisha sekta ya utalii nchini Rwanda,uwekezaji na maendeleo ya mchezo wa soka.

Mahiga: Watanzania Waishio Nje Hutuma Fedha Nyingi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Augustine Mahiga amesema Watanzania waishio nje ya nchi wanatuma zaidi ya Sh trilioni moja nchini kwa mwaka.

Hakuna Mtu Aliyethibitika Kuwa Na Ugonjwa Wa Ebola Na Hakuna Ugonjwa Huu Tanzania


NAIBU Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto dkt. Faustine Ndugulile amethibitisha kuwa hakuna mtu aliyethibitika kuwa na ugonjwa wa EBOLA hapa nchini wala hakuna ugonjwa huo hapa Tanzania.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya May 23

Maofisa Watatu Kituo cha Uwekezaji cha nchini ( TIC ) Wafariki kwa Ajali

Maofisa watatu wa Kituo cha Uwekezaji cha nchini  (Tanzania Investment Center (TIC) wamefariki dunia katika  ajali ya gari usiku wa kuamkia jana Mei 22, 2018 maeneo ya Chalinze wakiwa njiani kuelekea jijini Dodoma.

Tibaijuka: Kwa Hili Serikali ni Lazima Iwajibike.....Utawala wa Sheria Uheshimiwe

Mbunge wa Muleba Kusini(CCM), Profesa Anna Tibaijuka ameitaka serikali ya awamu ya tano iwajibike kuwanunulia ng'ombe wafugaji walioshinda kesi zao Mahakamani kama sheria inavyosema nasio vinginevyo.

Friday, May 18, 2018

Korea Kaskazini na Marekani: Kwa nini Kim Jong-un anamuogopa Donald Trump

Kim Jong-un (L) talking with South Korea's President Moon Jae-in (R) before the inter-Korean summit at the Peace House building on the southern side of the truce village of Panmunjom on 27 April (picture released by North Korean state media)\
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa matamshi yanayokinzana na ya mshauri wake wa masuala ya usalama wa taifa, akisema mfumo wa Libya wa kumaliza zana za nyuklia hauwezi kutumiwa nchini Korea Kaskazini.