Monday, July 6, 2026

HUENDA WACHEZAJI HAWA TUSIWAONE FANALI ZA WORLD CUP 2030

Hizi ni Picha za Ma-legendi kutoka Mataifa mbali mbali yaliyoshiriki kombe la Dunia 2026 Huko Mexico, Marekani na Canada na tayari wameshaondolewa

Christiano Ronaldo Mwenye Miaka 41 Ureno 

Luca Modric Mwenye Miaka 40 Croatia 

Manuel Neur Mwenye Miaka 40 Ujerumani 

Neymar Santos Jr Miaka 34 Brazil 

Ma-legendi hawa wote huenda tusiwaone katika Kombe la Dunia 2030 kwani tayari baadhi yao wametangaza kustafu soka la kimataifa wakiwa timu na zao za taifa

Tizama wanavyohuzunika



No comments:

Post a Comment