Hizi ni Picha za Ma-legendi kutoka Mataifa mbali mbali yaliyoshiriki kombe la Dunia 2026 Huko Mexico, Marekani na Canada na tayari wameshaondolewa
Christiano Ronaldo Mwenye Miaka 41 Ureno
Luca Modric Mwenye Miaka 40 Croatia
Manuel Neur Mwenye Miaka 40 Ujerumani
Neymar Santos Jr Miaka 34 Brazil
Ma-legendi hawa wote huenda tusiwaone katika Kombe la Dunia 2030 kwani tayari baadhi yao wametangaza kustafu soka la kimataifa wakiwa timu na
zao za taifa
Tizama wanavyohuzunika
%20Facebook.png)
No comments:
Post a Comment