Kwa upande wake Mwalimu wa neno la Mungu Isaya Benson
akifundisha kuhusu somo lililokuwa na kichwa kisemacho Mapito yamebeba hatma
yako amesema kuwa watu wengi wanakimbia mapito wakati ndio njia ya kuwapeleka
katika hatma yao.
Naye Mngojezi wa Nabii Mkuu Claudia Silayo akifundisha
ibadani hapo amesema kuwa wazazi wahawatakiwi kuwa legelege kwenye malezi ya
Watoto.
Pia Mtumishi mwanafunzi Abel Likinjie amepata nafasi ya katika ibada hiyo ambapo amewataka kuwa wavumilivu ili matamko ya kinabii waliyotamkiwa yaweze kutimia maishani mwao na Baba wa kiroho ajivunie wao.
%20Instagram.png)
No comments:
Post a Comment