Monday, July 6, 2026

RONALDO NA URENO YAKE YAONDOLEWA KOMBE LA DUNIA NA UHISPANIA

Cristiano na na wenzake wa Ureno wameaga mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Uhispania kwenye hatua ya 16 bora katika dimba la Dallas, Texas Marekani.
Uhispania imetinga hatua ya robo fainali na itachuana na mshindi wa mchezo mwingine wa hatua ya 16 bora kati ya wenyeji, Marekani dhidi ya Ubelgiji.
FT: Portugal 🇵🇹 0-1 🇪🇸 Spain
⚽ 90+1 Merino.





No comments:

Post a Comment