Cristiano na na wenzake wa
Ureno wameaga mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia kipigo cha 1-0
dhidi ya Uhispania kwenye hatua ya 16 bora katika dimba la Dallas, Texas
Marekani.
Uhispania imetinga hatua ya robo fainali na itachuana na mshindi wa mchezo
mwingine wa hatua ya 16 bora kati ya wenyeji, Marekani dhidi ya Ubelgiji.
FT: Portugal 🇵🇹 0-1 🇪🇸
Spain
⚽ 90+1’ Merino.
Cristiano na na wenzake wa
Ureno wameaga mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia kipigo cha 1-0
dhidi ya Uhispania kwenye hatua ya 16 bora katika dimba la Dallas, Texas
Marekani.
Uhispania imetinga hatua ya robo fainali na itachuana na mshindi wa mchezo
mwingine wa hatua ya 16 bora kati ya wenyeji, Marekani dhidi ya Ubelgiji.
FT: Portugal 🇵🇹 0-1 🇪🇸
Spain
⚽ 90+1’ Merino.



No comments:
Post a Comment