Tuesday, May 1, 2018

SIKILIZA LIVE SASA IBADA YA CHUO CHA MANABII..

 


SIKILIZA N.Y.U REDIO 99.3 FM ,SASA UWEZE  KUFUATILIA  IBADA YA CHUO CHA MANABII IBADA HIYO INAFANYIKA KATIKA HEMA LA KUKUTANIA KISONGO ARUSHA .

Ajiua kwa kunywa sumu kisa kuachwa na Mke


MWANAMUME mmoja mkazi wa Katoro mkoani Geita aliyetambulika kwa jina la Maganiko Nunda amejiua kwa kunywa sumu kufuatia mgogoro ulioibuka baina yake na mke wake siku hivi karibuni huku chanzo cha mgogoro huo kikidaiwa kuwa ni unywaji wa pombe kupindukia uliosababisha mkewe kumkimbia.