Uvumilivu, hekima na kulishika neno la mungu maishani ni moja
ya hatua zitakazomfanya mwanamke kuyafikia malengo aliyojiwekea.
Hayo yamesemwa na wamama wakati wakizungumza katika kipindi
cha wamama na majukumu kinachorushwa na N.Y.U Radio kilichokuwa na mada
inayosema njia zinazotumika kutimiza malengo.






