Wednesday, September 13, 2017

Mchekeshaji MC Pilipili amepata ajali na Kulazwa Bugando

Mchekeshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias maarufu Mc Pilipili amepokewa katika kitengo cha dharura cha Hospitali ya Rufaa Bugando, Mwanza baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga.

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO, Jumatano,Sept13,2017.


Mwanasheria Mkuu wa serikali amzungumzia Lissu


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju amefunguka kuhusu sakata la Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kupigwa risasi na watu wasiojulikana na kusema kuwa kwa sasa jambo hilo waachiwe polisi na vyombo vya usalama.

Tamko la Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Baada ya Rais Magufuli Kugoma Kuwanyonga Wafungwa


Mwanafunzi Aliyenusurika Ajali Lucky Vicent Kutoa Ushahidi Mahakamani


Mwanafunzi   Wilson Tarimo, aliyenusurika katika ajali ya basi iliyoua wanafunzi 32 wa Shule ya Msingi Lucky Vincent ni miongoni mwa mashahidi 15 wa upande wa Jamhuri kwenye kesi inayomkabili mmiliki wa shule hiyo, Innocent Moshi.

Ripoti: Tanzania Yaporomoka kwa Ukarimu Duniani


Tanzania imeporomoka nafasi sita katika utafiti wa ukarimu duniani ikiwa ni mwaka mmoja baada ya kufanya vizuri, jambo linaloonyesha Watanzania wameanza kuwa na mkono wa birika katika kuchangia wenye uhitaji.

Ofisi ya Wakili wa Yusuf Manji, Hudson Ndusyepo Yavamiwa na watu wasiojulikana na Kutoweka na kabati la kutunzia nyaraka

Watu wanane wanaodaiwa kuwa ni wahalifu wamevamia jengo la Prime House lililopo Mtaa wa Tambaza  na kufanya uharibifu wa mali za wapangaji.

Rais Amtembelea Meja Mstaafu Aliyepigwa Risasi


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 12 Septemba, 2017 ametembelea hospitali ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Lugalo, Jijini Dar es Salaam na kumjulia hali Meja Jen. Mstaafu Vincent Mritaba aliyelazwa hospitalini hapo baada ya kushambuliwa na watu wenye silaha wakati akiingia nyumbani kwake Ununio, Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

Tuesday, September 12, 2017

Breaking News: Jeshi la Polisi Lakanusha Kutuma Makachero Kumfuatilia Tundu Lissu Nchini Kenya


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Katika siku za karibuni kumejitokeza vitendo vya baadhi ya watu kutumia majina ama picha za watu na kuwahusisha na matukio ya kihalifu au matukio yanayohusiana na uhalifu kwa lengo la kujipatia umaarufu, kuwachafua watu hao au kuwakosanisha na jamii inayowazunguka.

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA GAS



7
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefungua mkutano wa siku mbili wa wadau wa Mafuta na Gesi.

Uchaguzi Norway unanukia

Norway 
Utabiri rasmi kuhusiana na uchaguzi wa bunge la Norway unaonyesha kuwa zinaelekea ukingoni huku vyama viwili vikichuana vikali , kati ya chama kikuu chenye mrengo wa kati kulia na kile cha mrengo wa kushoto.

Huduma za jamii zitachukua muda kurejea Florida

Marekani 
Gavana wa Florida amekuwa akitoa maelezo ya operesheni ya kazi ya misaada inavyofanyika kutokana na hali inayoikabili Marekani baada ya kukumbwa na kimbuga na dhoruba maruufu Irma.