Thursday, November 30, 2017

Marekani yataka mataifa yote kukatiza uhusiano na Korea Kaskazini

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong un na mwenzake wa Marekani Donald Trump
Marekani imeyataka mataifa yote kukatiza uhusiano wa kidiplomasia na ule wa kibiashara na Korea Kaskazini baada ya taifa hilo kufanyia jaribio la kombora lake la masafa marefu.

KOCHA PEP GUARDIOLA AMWAGIA SIFA RAHEEM STERLING

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, amesema kujiamini kwa Raheem Sterling kumemfanya awe na kiwango bora baada ya kufunga goli la ushindi dhidi ya Southampton katika dakika ya 96.

TIMU YA ARSENAL YACHARUKA YAMPIGA MTU MKONO


Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger, amempongeza mpambanaji Mesut Ozil baada ya raia huyo wa Ujerumani kuchangia ushindi mnono wa klabu hiyo wa magoli 5-0 dhidi ya Huddersfield.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Novemba 30

Wednesday, November 29, 2017

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa apokea vifaa vyya mshindano ya majimbo vyenye thamani ya Tsh 50 milioni.

Waziri Mkuu Abaini Semi Trela 44 Zikitaka Kutolewa Bandarini Bila Yakufuata Utaratibu....Amtaka IGP Sirro Awakamate Wahusika

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi, Simon Sirro kuwakamata, Bw. Bahman wa kampuni ya NAS na Wakala wa Kampuni ya Wallmark Bw. Samwel kwa kutaka kutoa bandarini magari makubwa aina ya semi tela 44 bila ya kulipa kodi kwa kutumia jina la Waziri Mkuu.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Novemba 29

Korea Kaskazi Yarusha Kombora La Masafa Marefu Zaidi Linaloweza Kutua Sehemu Yoyote Duniani

Korea Kaskazini imelifanyia majaribio kombora lake la masafa marefu lililoruka juu zaidi na kudumu angani kwa dakika 53 kabla ya kutua katika bahari ya Japani.

TANESCO Wataja Chanzo cha Kukatika kwa Umeme Dar, Pwani

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetoa taarifa kwa wateja katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kuwa baadhi ya maeneo hayana umeme kutokana na hitilafu iliyojitokeza.

Tundu Lissu Asimulia Alivyonusurika Kupigwa Risasi ya Fuvu la Kichwa

Kwa mara ya kwanza, Tundu Lissu amezungumzia shambulio la kinyama alilofanyiwa na watu wasiojulikana kwa kueleza kuwa, alinusurika kufumuliwa fuvu la kichwa kwa risasi.

IGP Sirro Asema mtandao Wa Kiuhalifu Kibiti Umesambaratishwa Kwa Kiasi Kikubwa....Ataka Watoto 13000 Wapatikane Haraka

MKUU wa jeshi la polisi nchini (IGP)Simon Sirro amewahakikishia wananchi mkoani Pwani kuwa silaha zote zilizochukuliwa na wahalifu wa ovyo ovyo huko Kibiti na Mkuranga zimerudi zote mkononi mwa dola na kusambaratisha mtandao wa kiuhalifu .

Tuesday, November 28, 2017

Wavulana 2 wasafiri kilomita 80 chini ya basi China


Wawili hao ambao hawajatajwa na serikali wanatoka katika kijiji kimoja maskini Kusini mwa Guangxi na walikuwa wakijaribu kwenda kwa wazazi wao 
Picha za wavulana wawili wa Kichina ambao walisafiri na basi moja kwa umbali wa kilomita 80 wakiwa chini ya gari hilo zilizua hisia kali kuhusu hali ya watoto wa taifa hilo waliowachwa nyuma.