Monday, February 5, 2018

MCHUNGAJI ELIZABETH AWAALIKA WATU KUHUDHURIA IBADA YA CHUO CHA MANABII SIKU YA KESHO JUMANNE.


Kadinali wa pili wa Huduma ya Ngurumo ya upako mchungaji Elizabeth Humphrey amewakumbusha watu wote kuhudhuria ibada ya chuo cha manabii siku ya kesho jumanne katika hema la kukutania kisongo arusha.

Mahakama ya Rufaa yamwondolea DPP mamlaka ya kuzuia dhamana za Washitakiwa

Mahakama ya Rufaa imemwondolea Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) mamlaka ya kuzuia dhamana ya mshtakiwa bila hata kulazimika kutoa sababu, baada ya kubatilisha kifungu cha 148 (4

HATIMAYE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AAPISHWA RASMI BUNGENI LEO.

Naibu Spika wa Bunge, Dkt.  Tulia Ackson amemwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG

Sunday, January 28, 2018

London: Mshukiwa aliyewagonga vijana 3 atorotoka eneo la ajali'

Kuanzia kushoto : George Wilkinson, Harry Louis Rice a na Josh Kennedy

Mwanamume anayeshukiwa kutoroka kutoka eneo la tukio la ajali ya gari ya kutisha iliyowauwa vijana watatu wa kiume anasakwa na polisi.
Wahanga hao watatu wa ajali waliokufa baada ya gari la Audi kupandaukingo wa barabara mjini London, wametambuliwa kama Harry Louis Rice, George Wilkinson na Josh Kennedy.

Waziri Mkuu Majaliwa Awasili Nchini Ethiopia,kumwakilisha Rais Magufuli Katika Kongamano La Viongozi Wakuu Wa Umoja Wa Nchi Za Afrika

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Comoros, Azali Assoumani, kwenye ndege ya shirika la Ethiopian Airline, wakiwa safarini kueleke Ethiopia, katika Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU, Waziri Mkuu, anamwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano huo. Januari 28, 2018.

Waziri Lukuvi Atangaza Kiama

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, ametangaza kiama kwa wamiliki ardhi ambao hawajalipa kodi ya pango la ardhi na kutoa muda hadi April 30 mwaka huu kuhakikisha wanalipa kodi hiyo.

BREAKING NEWS:MKUU WA MKOA WA ARUSHA MH MRISHO GAMBO AKUTANA NA NABII MKUU TANZANIA MH DK GEORDAVIE LEO JUMAPILI.

 


"Jioni Hii ya Leo tarehe 28/01/2018 Mkuu Wa Mkoa Wa Arusha Mh Mrisho Gambo ,Amekutana Na Nabii Mkuu Mh Dk Geordavie Katika Hoteli Ya The Arusha By Sheraton Ili Kusalimiana Na Kupokea Baraka Za Kinabii".

Wednesday, January 17, 2018

Japan yaonya kuhusu urafiki ambao umeonekana kutoka Korea Kaskazini

Kim Jong-un


Japan imeuambia mkutano wa kimataifa kuhusu Korea Kaskazini kuwa dunia isifumbwe macho na urafiki amabo umeanza kuonekana kutoka kwa Korea Kaskazini.

Afrika Kusini yamwita balozi wa Marekani Kufuatia Matamshi ya Kuudhii ya Rais Donald Trump

Wizara  ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa nchini Afrika Kusini imemwita Naibu Balozi wa Marekani, jijini Pretoria kufuatia matamshi ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuhusu nchi za Afrika.

Rais Magufuli Akutana na Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo Na Kupiga Marufuku Michango Yote Shuleni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Januari 17, 2018 amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za Serikali za msingi na Sekondari na kuwaagiza Mawaziri Jafo na Ndalichako kusimamia hilo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya January 17

SIJARIDHISHWA NA UJENZI WA KITUO CHA SIRARI-MAJALIWA


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na ubora wa ujenzi wa kituo cha forodha cha Sirari kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya.