Nemanja Matic amefunga goli tamu la
dakika ya mwisho na kuipatia ushindi Manchester United iliyokuwa
nyuma kwa magoli 2-0 na kukwea hadi nafasi ya pili ya msimamo wa
ligi.
Tuesday, March 6, 2018
Mkapa amteua Prof. Mubofu kuwa Makamu Mkuu wa chuo cha Dodoma (UDOM) Kuchukua Nafasi ya Profesa Kikula
Na Paschal Dotto-MAELEZO
Mkuu
wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Rais Mstaafu (Awamu ya Tatu), Mhe.
Benjamin William Mkapa ametangaza uteuzi wa Profesa Egid Beatus Mubofu
kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu hicho, nafasi iliyokuwa inashikiliwa na
Profesa Idris Suleiman Kikula.
Freeman Mbowe aruhusiwa kutoka hospitali. Daktari aeleza ugonjwa wake
Mwenyekiti
wa CHADEMA, Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa
Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) ameruhusiwa kutoka hospitali
hapo baada ya madaktari kujiridhisha kuwa afya yake imeimarika.
Rais Magufuli atoa kibali cha kuendelezwa ujenzi wa msikiti wa Sumbawanga......Serikali ya mkoa wa Rukwa yachangia Milioni 5.7 kuumalizia
Uongozi
wa Waislamu Mkoani Rukwa umepokea kwa furaha mchango wa Shilingi
Milioni 5.7 uliotolewa na uongozi wa serikali ya Mkoa wa Rukwa
ukiongozwa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo katika kikao cha
maridhiano juu ya ujenzi wa msikiti uliosimama kwa muda.
Ufaransa Yaipongeza Tanzania Kwa Kupambana Na Rushwa
SERIKALI
ya Ufaransa imeipongeza Serikali ya Tanzania kwa mapambano dhidi ya
rushwa na inaamini fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi
mbalimbali zitatumika kama ilivyokusudiwa.
Friday, February 16, 2018
Trump lawamani na sheria ya silaha
Chama cha Democrats kimewashutumu
Rais Donald Trump na Spika wa bunge la nchi hiyo Paul Ryan kwa kukataa
kuruhusu mjadala wa sheria ya kumiliki silaha.
Hiki ndicho kituo cha kazi alichopangiwa Balozi Dkt Slaa
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo
tarehe 16 Februari, 2018 saa 3:00 asubuhi atawaapisha Mabalozi wawili
aliowateua kuiwakilisha Tanzania katika nchi za Nigeria na Sweden.
WENGER AIPONGEZA ARSENAL BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI SWEDENI
Thursday, February 15, 2018
Afrika Kusini: Ramaphosa kuapishwa kuwa rais
Mwenyekiti wa chama tawala cha ANC
Cyril Ramaphosa anatarajiwa kuapishwa kuwa rais wa Afrika Kusini baada
ya rais wa taifa hilo Jacob Zuma kujiuzulu.
Subscribe to:
Posts (Atom)









