Thursday, July 24, 2025

HII NDIO CV YA KOCHA MPYA WA KLABU YA YANGA.

 HII NDIO CV YA KOCHA MPYA WA KLABU YA YANGA.

Anaitwa Romain Folz (35) Kocha mpya wa Yanga,ambae alizaliwa Bordeaux,Ufaransa πŸ‡«πŸ‡·

Huyu kocha amefanya kazi sehemu zifuatazoπŸ‘‡

2025 Alikuwa Mkurugenzi wa michezo wa Olympique Akbou ya Algeria πŸ‡©πŸ‡Ώ

2024 Alikuwa kocha msaidizi wa Mamelodi Sundown ya South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦

2023 Alikuwa kocha mkuu wa Horoya ya Guinea πŸ‡¬πŸ‡³

2022 Alikuwa kocha mkuu wa Amazulu ya South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦

2021 Alikuwa kocha Mkuu wa Township Rollers ya Botswana πŸ‡§πŸ‡Ό

2019 Alikuwa kocha Msaidizi wa Pyramid ya Egypt πŸ‡ͺπŸ‡¬

2018 Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬

Huyu kocha ana UEFA Pro Licence na Pro Licence ya CONMEBOL (America).

Huyu kocha ni Muhumini wa (4-3-3) na timu yake ina-press kinoma.

No comments:

Post a Comment