Thursday, July 24, 2025

NABII MKUU MHE.DKT GEORDAVIE ATAKA AMANI YA NCHI ILINDWE.

‎‎Nabii Mkuu Mhe.Dkt.GeorDavie amewataka wananchi kulinda Amani iliyopo nchini.

‎‎Nabii Mkuu ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wanahabari wa vyombo mbalimbali vya habari katika ukumbi wa Sephil Saphire jijini Dodoma.

‎" Tulinde Utulivu na Amani katika Nchi ya Tanzania pia tujitoze kupiga kura kwa sababu ni swala la msingi na Haki ya Kila mtu"/Amesema Nabii Mkuu Dkt.GeorDavie Balozi wa Amani Taifa.

‎Aidha amewataka pia viongozi wa Dini kuendelea kumuombea Rais na kuyasema yote mema aliyoyafanya katika kutekeleza shughuli mbalimbali ya kimaendeleo.

‎Na Beatrice Maina@NYU ARUSHA. #GeorDavietv YouTube #GeorDavietv Instagram #GeorDavie Facebook #GeorDavie TikTok #GeorDavie Maarifa







No comments:

Post a Comment