Monday, October 23, 2023

MRISHO GAMBO "KAZI ANAZOFANYA NABII MKUU ZINAIONYESHA KUWA NI DINI YA KWELI"

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo amesema kwamba kazi anazozifanya Nabii Mkuu Mhe. Dkt. GeorDavie katika kuwasaidia watu kiuchumi ni ishara tosha kuwa hiyo ndio dini ya kweli.

Mhe. Gambo ameyasema hayo alipokuwa akitoa zawadi kwa Nabii Mkuu Mkuu Mhe. Dkt. GeorDavie ambapo ilikuwa ni sikukuu ya adhimisho la zawadi ya Nabii Mkuu.

Aidha amesema kuwa amekuwa akijifunza mambo mengi wakati wote anaposhiriki ibada za huduma ya ngurumo ya upako kwani ipo tofauti na huduma nyingine.

Na Beatrice Maina, N.Y.U ARUSHA






No comments:

Post a Comment