Monday, October 23, 2023

NABII MKUU MHE. DKT. GEORDAVIE "HII NI WIKI YA KUEPUSHWA NA AJALI NA KUPOKEA ULINZI"

Nabii Mkuu Mhe. Dkt. GeorDavie ametangaza neno la wiki hii kuwa hii ni wiki ya kuepushwa na Ajali na kupokea Ulinzi mkamilifu.

Ametangaza neno hilo jumapili ya Oktoba 22, 2023 katika ibada ya chuo kikuu cha manabii iliyofanyika katika nyumba ya matamko kisongo Arusha ambapo ilikuwa ni ibada ya kupokea Thawabu ya Nabii Mkuu na ilikuwa ni sikukuu ya adhimisho la zawadi ya Nabii Mkuu.

Nabii Mkuu Mhe. Dkt. GeorDavie amesema kuwa neno la kinabii linapokuja limekusudiwa kuwakinga wana wa Mungu na mabaya yote ya adui.


No comments:

Post a Comment