HII NDIO CV YA KOCHA MPYA WA KLABU YA YANGA.
Anaitwa Romain Folz (35) Kocha mpya wa Yanga,ambae alizaliwa Bordeaux,Ufaransa π«π·
Huyu kocha amefanya kazi sehemu zifuatazoπ
2025 Alikuwa Mkurugenzi wa michezo wa Olympique Akbou ya Algeria π©πΏ
2024 Alikuwa kocha msaidizi wa Mamelodi Sundown ya South Africa πΏπ¦
2023 Alikuwa kocha mkuu wa Horoya ya Guinea π¬π³
2022 Alikuwa kocha mkuu wa Amazulu ya South Africa πΏπ¦
2021 Alikuwa kocha Mkuu wa Township Rollers ya Botswana π§πΌ
2019 Alikuwa kocha Msaidizi wa Pyramid ya Egypt πͺπ¬
2018 Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Uganda πΊπ¬
Huyu kocha ana UEFA Pro Licence na Pro Licence ya CONMEBOL (America).
Huyu kocha ni Muhumini wa (4-3-3) na timu yake ina-press kinoma.