Monday, June 9, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 08-JUNE-2014

       
Ilikuwa jumapili nyingine ya baraka zaidi ambapo maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walikusanyika katika makao Makuu ya huduma hiyo Kisongo Arusha Tanzania na

Thursday, June 5, 2014

CHATU AUWAWA KUTOKA KATIKA NYUMBA YA MTU JIJI ARUSHA

         
Ikiwa imepita takribani miezi miwili tangu Nabii Mkuu na Mwasisi wa Manabii Tanzania Mh.Dk.GeorDavie atangaze ushindi dhidi ya kazi na nguvu zote za wachawi na waganga wa kienyeji, mambo mbalimbali yameelendelea kutimia amabapo ni pamoja na hili la nyoka aina ya

Sunday, May 11, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 11-05-2014

     Ilikuwa  Jumapili nyimgine ya baraka zaidi pale ambapo maelfu ya waumini wa Huduma ya Ngurumo ya Upako waliweza kufika na kupokea baraka za Mungu chini ya Hema la kukutania Kisongo Arusha ambapo,

Monday, May 5, 2014

IBADA YA JUMAPILI TARE 04-O5-2014

  


Maelfu ya wakazi wa jiji la Arusha na maeneo mbalimbali walikusanyika katika Hema la kukutania Chuo Cha Manabii Kisongo Arusha, ambapo waliweza kupokea na kufunguliwa kutoka katika vifungo mbalimbali vya muovu shetani.

Tuesday, April 29, 2014

Urusi yawekewa vikwazo vingine na nchi za magharibi

Marekani na Umoja wa Ulaya zimewawekea vikwazo maafisa kadhaa   na makampuni ya Urusi ili kuiadhibu nchi hiyo kwa sababu ya kuhusika  na matukio ya nchini Ukraine.

Wednesday, April 9, 2014

PATA KUSIKILIZA NA KUDOWNLOAD METHALI ZA MUASISI WA MANABII TANZANIA Mh.Dr.GeorDavie.

Sasa Unaweza kusikiliza na Kudownload bure kabisa Methali za Muasisi wa Manabii TANZANIA Mh.Dr.GeorDavie, zenye mafundisho ya kukujenga Kiroho na kukupa mafundisho zaodo.

SIKILIZA NA KUDOWNLOAD METHALI ZA Mh.Dr.GeorDavie.

Wednesday, April 2, 2014

UTHIBITIBISO WA MANENO KINABII ULIOTOLEWA NA MUASISI WA MANABII TANZANIA Mh.Dr.GeorDavie JUU YA JIJI LA ARUSHA.

 
 Ilikuwa mwishoni mwa mwaka 2013 ambapo MUASISI WA MANABII TANZANIA Mh.Dr.GeorDavie aliweza kufanya Ziara katika eneo la maduka la SHOP RITE jiji Arusha na kutoa Unabii kwa maendeleo ya jiji la Arusha na kuwatamkia maelf ya watu waliokuwa wamefika katika eneo hilo kuwa na afya njema.

Friday, March 28, 2014

UTHIBITISHO WA MANENO YA KINABII KUTOKA KWA MUASISI WA MANABII TANZANIA Mh.Dr. GeorDavie.

     
Mara kwa mara Muasisi wa Manabii Tanzania Mh.Dr. GeorDavie amekuwa akitamka maneno ya Kinabii kwa Watu, Taifa na Dunia kwa ujua na kwa asilimia mia(100%) unabii huo umekuwa ukitimia na kushuhudiwa na watu mbalimbali.

Wednesday, March 26, 2014

EXCLUSIVE NEWS -Muasisi wa manabii Tanzania mh Dr GeorDavie awahudumia watu kwa njia ya mtandao wa Facebook.


Ikiwa ni siku 3 tangu Muasisi wa manabii Tanzania mh Dr GeorDavie aitangaze wiki hii kuwa ni wiki ya kutembea katika neno moja tu la kinabii, mapema leo saa nne asubuhi, amewahudumia watu kwa njia ya mtandao wa kijamii Facebook.

Monday, March 24, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 23-03-2014

   
 Ilikuwa  Jumapili nyimgine ya baraka zaidi pale ambapo maelfu ya waumini wa Huduma ya Ngurumo ya Upako waliweza kufika na kupokea baraka za Mungu chini ya Hema la kukutania Kisongo Arusha ambapo

Sunday, March 9, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 09-03-2014


Ilikuwa juamapili ya baraka na yenye nguvu na Muujiza kwa maelfu ya waumini wa Ngurumo ya Upako walio kusanyika katika Hema la kukutania Kisongo Arusha,

Monday, March 3, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 02-03-2014

Ilikuwa juamapili ya baraka na yenye nguvu na Muujiza kwa maelfu ya waumini wa Ngurumo ya Upako walio kusanyika katika Hema la kukutania Kisongo Arusha .