Wednesday, August 30, 2017

WATU WAKUMBUSHWA KUFIKA HEMAINI MWA BWANA.

Kadinali wa pili wa huduma ya ngurumo ya upako mchungaji Elizabeth Hamphrey amewakumbusha watu wote kuhudhuria ibada ya Baraka ya chuo cha manabii itakayofanyika siku ya kesho katika hema la kukutania kuanzia saa sita kamili mchana.
Akizungumza na N.Y.U Radio  Mchungaji Elizabeth Humphrey amesema kuwa ni vyema kila mmoja kufika mbele za bwana ili kufundiswa neno la Mungu ikiwa ni
pamoja na  kupokea nguvu ya Mungu kutoka kwa watumishi wa mungu wanaotumika chini ya Nabii mkuu mh. Dk. GeorDavie.

Ameongeza kuwa watu kuhudhuria  ibada hiyo wataendelea kujazwa neno la mungu ikiwa ni pamoja na kuchota Baraka ambazo Nabii mkuu amekuwa akiziachilia katika madhabahu.

No comments:

Post a Comment