Monday, August 14, 2017

RAIS WA MISRI AWASILI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI.

Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na mwenyeji wake, Rais John Pombe Magufuli kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. 

Amewasili kwa ndege maalum ya serikali ya Misri na kupokelewa kwenye Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
 

No comments:

Post a Comment