Saturday, September 2, 2017

TAZAMA CHANNEL MPYA YA 'GEORDAVIE TV'





Shehena ya Almasi Yakamatwa Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro


Alichokisema Raila Odinga Baada ya Mahakama ya Juu Kufuta Matokeo yaa Uchaguzi Kenya


Mgombea urais wa Kenya kupitia Muungano wa Nasa, Raila Odinga amesema Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ni lazima ifanyiwe mabadiliko ili kurudia  uchaguzi.

Uhuru Kenyatta: Sikubaliani na uamuzi wa Mahakama lakini Ntauheshimu


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema kuwa hakubaliani na uamuzi wa Mahakama ya Juu nchini humo ya kubatilisha uchaguzi wa urais uliopita na kuagiza kufanyika upya kwa uchaguzi lakini anaheshimu uamuzi huo wa mahakama.

Mahakama Ya Juu Yafuta MATOKEO Ya Uchaguzi Uliompa Ushindi Uhuru Kenyatta

Mahakama ya Juu imefuta matokeo ya urais yaliyompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta kuwa madarakani kwa muhula wa pili.

Mwakyembe apinga vikali uzushi juu ya ubovu wa ndege za Bombardier


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo, Dk Harrison Mwakyembe ametoa agizo kwa Watanzania kupuuza maneno ya upotoshaji yanayosemwa na watu wachache hususani wanasiasa kuhusu ubovu wa ndege za Serikali aina ya Bombardier.

Serikali yaongeza muda wa uhakiki wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali


Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambayo inajukumu la kusajili, kuratibu na kufuatilia uendeshaji wa shughuli za Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini imeamua kuongeza muda wa siku 16 kwa Mashirika ambayo bado hayajahakiki  taarifa zake kwa Msajili wa Mashirikka yasiyo ya Kiserikali kukamilisha uhakiki huo.

JWTZ lawarudia wananchi......Hii ni Hotuba ya Mkuu wa Majeshi Nchini, Jenerali Venance Mabeyo


Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo (jana) limetimiza miaka 53 tangu kuanzishwa kwake ambapo akiongeza na waandishi wa habari Jenerali mabeyo aliwaambia waandishi kuwa yuko na Jenerali Sarakikya (rtd) Mkuu wetu wa Majeshi ya Ulinzi wa Kwanza Mzalendo, Jenerali Mwamunyange (rtd) Mkuu wa Majeshi wa Saba, ambaye nimepokea kijiti hiki toka kwake mwezi Februari, 2017.

Habari Zilizopo Katika Magazet ya Leo Jumamosi ya Septemba 2


Rais Magufuli alipongeza Jeshi la JWTZ kwa kutimiza miaka 53


Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dk. John Magufuli amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kutimiza miaka 53 tangu kuanzishwa kwake na kwa kutimiza wajibu wake jambo ambalo limeifanya Tanzania kuwa nchi ya amani.