Wizara
ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambayo inajukumu
la kusajili, kuratibu na kufuatilia uendeshaji wa shughuli za Mashirika
Yasiyo ya Kiserikali nchini imeamua kuongeza muda wa siku 16 kwa
Mashirika ambayo bado hayajahakiki taarifa zake kwa Msajili wa
Mashirikka yasiyo ya Kiserikali kukamilisha uhakiki huo.