Imeelezwa na ‘American Chemical Society’ kuwa ndani ya mbegu hiyo vipo virutubisho ambavyo vinaweza kuwa dawa ya magonjwa ya saratani, magonjwa ya moyo, na kuzuia kukua kwa seli za uvimbe mwilini
Inakadiriwa kuwa duniani kote takriban tani milioni 5 za maparachichi zinazalishwa kila mwaka kiwango ambacho kinaweza kutumika kuleta mapinduzi katika sekta ya afya na dawa kama kutakua na teknolojia nzuri ya kutumia mbegu hizo.
No comments:
Post a Comment