Wednesday, April 4, 2018

Spika Ndugai amerejea kutoka kwenye matibabu


Spika wa Bunge, Job Ndugai amerejea jana Aprili 3, 2018 akitokea nchini India alikokwenda kwa ajili ya kupata matibabu miezi miwili.

Taarifa iliyotolewa katika ukurasa wa Twitter wa Bunge la Tanzania imesema “Spika Ndugai amepokelewa na Mbunge wa Viti Maalum, Mama Salma Kikwete na Wabunge wengine.”

No comments:

Post a Comment