Friday, March 28, 2014

UTHIBITISHO WA MANENO YA KINABII KUTOKA KWA MUASISI WA MANABII TANZANIA Mh.Dr. GeorDavie.

     
Mara kwa mara Muasisi wa Manabii Tanzania Mh.Dr. GeorDavie amekuwa akitamka maneno ya Kinabii kwa Watu, Taifa na Dunia kwa ujua na kwa asilimia mia(100%) unabii huo umekuwa ukitimia na kushuhudiwa na watu mbalimbali.

Wednesday, March 26, 2014

EXCLUSIVE NEWS -Muasisi wa manabii Tanzania mh Dr GeorDavie awahudumia watu kwa njia ya mtandao wa Facebook.


Ikiwa ni siku 3 tangu Muasisi wa manabii Tanzania mh Dr GeorDavie aitangaze wiki hii kuwa ni wiki ya kutembea katika neno moja tu la kinabii, mapema leo saa nne asubuhi, amewahudumia watu kwa njia ya mtandao wa kijamii Facebook.

Monday, March 24, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 23-03-2014

   
 Ilikuwa  Jumapili nyimgine ya baraka zaidi pale ambapo maelfu ya waumini wa Huduma ya Ngurumo ya Upako waliweza kufika na kupokea baraka za Mungu chini ya Hema la kukutania Kisongo Arusha ambapo

Sunday, March 9, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 09-03-2014


Ilikuwa juamapili ya baraka na yenye nguvu na Muujiza kwa maelfu ya waumini wa Ngurumo ya Upako walio kusanyika katika Hema la kukutania Kisongo Arusha,

Monday, March 3, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 02-03-2014

Ilikuwa juamapili ya baraka na yenye nguvu na Muujiza kwa maelfu ya waumini wa Ngurumo ya Upako walio kusanyika katika Hema la kukutania Kisongo Arusha .

Tuesday, February 25, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 23-02-2014


Maelfu ya wakazi toka sehemu mbalimbali ndani ya mkoa wa Arusha na Manyara walikusanika katika Makao Makuu ya Huduma ya Ngurumo ya Upako Dunia Kisongo Arusha,

Thursday, February 20, 2014

Rais wa Ukraine akubali kufikia makubaliano na upinzani

Rais  wa  Ukraine Viktor Yanukovich  ametangaza makubaliano  na  viongozi  wa upinzani  na  kuanza majadiliano  kumaliza  umwagikaji  wa  damu.

Monday, February 17, 2014

(HABARI). Ndege ya Ethiopia iliotekwa yatua mjini Geneva

Ndege ya shirika la Ethiopia iliokuwa inaelekea mjini Roma imetekwa hii leo asubuhi, na kulazimika  kutua mjini Geneva ambapo mtekaji nyara

(NEWS). UJERUMANI WAKIRI KUONGEZA UIMARA WA KIJASUSI DHIDI YA NCHI ZA MAGHARIBI.

Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya jarida la kila wiki la Ujerumani, Der Spiegel.Ripoti hiyo inasema balozi za nchi za magharibi kama vile Marekani na Uingereza hapa Ujerumani zitafuatiliwa kwa

(NEWS). MADEREVA WA BENAKO WILAYA YA NGARA WALIA NA KUMALIZIWA KWA EGESHO LA MAGARI

Baadhi ya madereva katika mji mdogo wa Benako Wilayani Ngara mkoani Kagera wameiomba halmashauri ya wilaya hiyo kukamilisha ujenzi wa kituo cha kuegesha magari kilichoanza kujengwa tangu miaka mitatu iliyopita kwenye eneo hilo

Sunday, February 16, 2014

IBADA YA JUMAPILI YA TAREHE 16-02-2014


Katika ibada iliyofanyika Makao Makuu ya huduma ya NGURUMO YA UPAKO DUNIANI iliyoongozwa na Kadinali wa huduma hiyo

Thursday, February 13, 2014

(NEWS).KARATU TOUR SUMMIT!!!!


MAKUTANO YA WA WATU KATIKA MJI WA KARATU WAKIPOKEA MANENO YA KINABII WAKATI WA ZIARA YA NABII MKUU MH.DK.GEORDAVIE MWISHONI MWA WIKI ILIYOPITA.


WATU WAKIMSUBIRI NABII MKUU MH. DR.GEORDAVIE

 H.E Hon. Dr. GeorDavie IS BEEN INTERVIEWED BY THE COUNTRY MEDIA JOURNALISTS JUST BEFORE TAKING OFF TO ARUSHA CITY!!!