Monday, April 13, 2015

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 12/APRIL/2015

Maelfu ya watu wamekusanyika katika Chuo Kikuu Cha Manabii kwenye ibada ya jiji iliyofanyika Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha na

Monday, March 30, 2015

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 29/MARCH/2015

Maelfu ya watu waliokusanyika katika chuo kikuu cha Manabii Kisongo katika ibada ya jiji wamepokea Baraka mbalimbali za kinabii na kufunguliwa katika vifungo mbalimbali.

Thursday, March 26, 2015

IBADA YA CHUO CHA UPONYAJI TAREHE 26/MARCH/2015

Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr.Geordavie ametangaza siku 14 za kufanyika kwa mambo makubwa maishani kwawalewote wanaomuamini nabii kuanza mwao

Wednesday, March 25, 2015

WATU WAWILI MBARONI KWA KOSA LA KUKUTWA NA VIUNGO VYA ALBINO

Ikiwa ni siku chache tangu Nabii Mkuu Mhe. Dkt. GeorDavie kupiga marufuku  vitendo vya mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino) hatimae watu wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na viungo mbalimbali vya mwili ikiwemo mifupa mitatu ya

Monday, March 23, 2015

Friday, March 13, 2015

AJALI MBAYA YA BASI LA ABIRIA NA LORI LA MIZIGO JIJI ARUSHA

Tukiendelea kukumbuka tamko la Unabii kutoka kwa Nabii Mkuu Dkt. GeorDavie kuhusu majanga mbalimbali nchini,takribani watu watano wamejeruhiwa ,

Friday, March 6, 2015

MWAKA 2015 WAANZA KUNG’ATA WAGANGA WA KIENYEJI KAGERA.



Ikiwa ni baada ya tamko la Kinabii juu ya mwaka 2015 kuwa ni mwaka wenye meno na unang’ata kwa waganga wa kienyeji,washirikina na wachawi.Hatimaye

Thursday, March 5, 2015

IDADI YA WALIO KUFA NA MAFURIKO SHINYANGA YAONGEZEKA NA KUFIKIA 42.





Idadi ya watu waliokufa kutokana na mvua kubwa na mafuriko wilayani Kahama, mkoani Shinyanga sasa imefikia 42. Watu wengine 98 wamejeruhiwa, nyumba 160 zimebomolewa na jumla ya watu 570 wameathirika na mafuriko hayo. Kwa mujibu wa Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga, amesema

Wednesday, February 25, 2015

Majeshi ya DRC yashambulia ngome ya FDLR.



 
Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo FARDC, vimeanzisha hatua za kijeshi dhidi ya waasi wa Rwanda wa kundi la FDLR.Katika vijiji vya Ruvuye na Mulindi katika misitu ya maeneo ya mji wa Lemera tarafani Uvira mkoani Kivu ya kusini.
Baadhi wa wajumbe wa kundi hilo wanashutumiwa kushiriki katika mauaji ya kimbari ya Rwanda kabla ya kutoroka katika nchi jirani ya Jammuhuri ya kidemokrasi ya Congo

Friday, February 20, 2015

IBADA YA CHUO CHA UPONYAJI,TAREHE 19/February/2015




Maelfu ya watu waliohudhuria katika chuo cha uponyaji  leo katika hema la kukutania kisongo nje kidogo ya Jiji La Arusha   wametoa sadaka ya kujiepusha na majanga, ambapo hivi karibuni Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr.GeorDavie alitoa unabii utakaodumu hadi mwezi wa sita kuwa kutatokea majanga mbalimbali nchini.

Monday, February 16, 2015

IBADA YA JUMAPILI.TAREHE 15/February/2015




Baraka mbalimbali za kinabii zimeendelea kumiminika kwa Maelfu ya watu walioudhuria ibada ya Jiji Chuo Kikuu cha Manabii Kisongo nje kidogo ya Jiji la Arusha.
Katika ibada hiyo Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr GeorDavie  ametangaza Baraka mpya ya

Thursday, February 12, 2015

IBADA YA CHUO CHA UPONYAJI TAREHE 12/February/2015.



Nabii Mkuu Mh.Dr.GeorDavie ametoa Unabii wa Muda wa miezi mitano kuanzia Februari hadi June mwaka huu kuwa kuna mambo yatakayotokea ambayo yatakuwa ya kushangaza. Mh.Dr.GeorDavie ametoa Unabii huo leo wakati wa ibada ya Chuo cha Uponyaji iliyofanyika katika hema la Kukutania la Ngurumo ya Upako Chuo Kikuu cha Manabii  Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.