Tuesday, June 12, 2018

ACT – Wazalendo kuibua mjadala mkuu wa Kitaifa uchambuzi wa bajeti (+video)

Chama cha ACT- Wazalendo kupitia Katibu Kamati ya Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Ado Shaibu kimepanga kuja na majadala wa uchambuzi
wa Bajeti Kuu utakao wahusisha wabobezi wa uchumi na wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari tarehe 17 Juni, 2018.

No comments:

Post a Comment