Wednesday, July 3, 2019

Hizi hapa Timu 16 zilizotinga hatua ya 16 bora AFCON 2019 Pamoja na Ratiba


Baada ya timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kupoeza mechi zake zote kwenye kundi C michuano ya Afcon zilizotinga hatua ya 18 hizi hapa na ratiba yake ipo namna hii:-

1.Egypt v South Africa

2.Madagascar v DR Congo

3.Nigeria v Cameroon

4.Senegal v Uganda

5.Algeria v Guinea

6.Morocco v Benin

7.Mali v Ivory Coast

8.Ghana v Tunisia
 
by rich voice

No comments:

Post a Comment