Monday, February 16, 2015

IBADA YA JUMAPILI.TAREHE 15/February/2015




Baraka mbalimbali za kinabii zimeendelea kumiminika kwa Maelfu ya watu walioudhuria ibada ya Jiji Chuo Kikuu cha Manabii Kisongo nje kidogo ya Jiji la Arusha.
Katika ibada hiyo Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr GeorDavie  ametangaza Baraka mpya ya

Thursday, February 12, 2015

IBADA YA CHUO CHA UPONYAJI TAREHE 12/February/2015.



Nabii Mkuu Mh.Dr.GeorDavie ametoa Unabii wa Muda wa miezi mitano kuanzia Februari hadi June mwaka huu kuwa kuna mambo yatakayotokea ambayo yatakuwa ya kushangaza. Mh.Dr.GeorDavie ametoa Unabii huo leo wakati wa ibada ya Chuo cha Uponyaji iliyofanyika katika hema la Kukutania la Ngurumo ya Upako Chuo Kikuu cha Manabii  Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.

Wednesday, February 11, 2015

NIGER YACHAGUA VITA DHIDI YA BOKO HARAM.


Bunge la Niger limepiga kura kwa kauli moja, kutuma vikosi nchini Nigeria kujiunga na mapambano ya kikanda dhidi ya kundi la Boko Haram. Kulingana na azimio la bunge hilo, Niger itatuma wanajeshi 750 nchini Nigeria. 

Wavuvi hawaendi tena ziwani kuvua, wakulima hawaendi tena mashambani, shule zimefungwa. Wakaazi wa maeneo ya mpakani ya Diffa na Bosso, kusini mwa Niger wamejawa na hofu, kutokana na magaidi waliojigeuza wapiganaji wa jihadi, ambao wanatishia usalama wa taifa lao." Hao ni makatili tu wasioheshimu sheria, wanaiba, kuuwa, na kubaka," alisema Abdou Lokoko, mfanyakazi wa shirika lisilo la kiserikali nchini Niger.

Monday, February 9, 2015

IBADA YA JUMAPILI. TAREHE 8/February/2015




Wakazi wa Mkoa wa Arusha  na maeneo mbalimbali walihudhuria jumapili hii  katika ibada ya jiji katika hema la kukutania Chuo Kikuu cha Manabii Kisongo nje kidogo ya Jiji la Arusha wamepokea  Baraka mbalimbali za Kinabii.

Thursday, February 5, 2015

HUDUMA YA NGURUMO YA UPAKO ILIYOKO CHINI YA NABII MKUU MH.DR.GEORDAVIE IMETOA MSAADA KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA WENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI KUMI .



Huduma ya Ngurumo ya Upako iliyoko chini ya Nabii Mkuu Mh.Dr.GeorDavie leo imetoa msaada kwa vituo sita vya watoto yatima wenye thamani ya shilingi milioni kumi .

Msaada huo ambao ni vitu mbalimbali kama Mchele, sukari, mafuta ya kupikia pamoja na sabuni umekabidhiwa kwa walezi wa vituo hivyo lengo likiwa ni kuwasaidia watoto hao ili nao wajione kuwa sawa na watoto wengine wenye wazazi.

Monday, February 2, 2015

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 2/February/2015


Maelfu ya watu wamekusanyika katika chuo kikuu cha manabii kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha kwenye ibada ya jiji ambayo iliongozwa na Nabii mkuu Dr. GeorDavie na kupokea Baraka mbalimbali za kinabii.

Thursday, January 29, 2015

IBADA YA CHUO CHA UPONYAJI TAREHE 29/January/2015





Maelfu ya wakazi wa jiji la Arusha na wale wanaoamini Nguvu ya Kinabii  wametengwa na kila kusudi baya la shetani katika mambo mbalimbali maishani.
Hayo yamefanyika katika Chuo Cha Uponyaji katika hema la kukutania la Ngurumo ya Upako Chuo Cha Manabii Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha.

Monday, January 26, 2015

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 25/01/2015.




Jamii nchini imetakiwa kutambua mchango wa wazazi wao bila kujali kiwango cha msaada waliuopata kutoka kwao.

Friday, January 23, 2015

IBADA YA CHUO CHA UPONYAJI TAREHE 22/January/2015.





Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Ngurumo ya Upako duniani Nabii Mkuu Mh.Dr.GeorDavie amewabariki maelfu ya watu kwa kuwaingizia kitu cha Kimungu ambacho pia kitawasaidia kumtafuta Mungu.

Monday, June 9, 2014

UTHIBITIBISO WA MANENO KINABII ULIOTOLEWA NA MUASISI WA MANABII TANZANIA Mhe.Dr.GeorDavie JUU YA UPATIKANAJI WA MADINI KIRAHISI KWA WACHIIMBAJI(LOLIONDO)


Maelfu ya wakazi  Wilayani Loliondo na maeneo mbalimbali nchini wanaendelea kumiminika katika eneo kulikogundulika kuwa  na madini  aina ya dhahabu katika kijiji cha
mugongo kata Wilayani humo.

IBADA YA JUMAPILI TAREHE 08-JUNE-2014

       
Ilikuwa jumapili nyingine ya baraka zaidi ambapo maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walikusanyika katika makao Makuu ya huduma hiyo Kisongo Arusha Tanzania na

Thursday, June 5, 2014

CHATU AUWAWA KUTOKA KATIKA NYUMBA YA MTU JIJI ARUSHA

         
Ikiwa imepita takribani miezi miwili tangu Nabii Mkuu na Mwasisi wa Manabii Tanzania Mh.Dk.GeorDavie atangaze ushindi dhidi ya kazi na nguvu zote za wachawi na waganga wa kienyeji, mambo mbalimbali yameelendelea kutimia amabapo ni pamoja na hili la nyoka aina ya