Tuesday, July 28, 2026

PROF. GEORDAVIE MAFANIKIO HAYAJAWEKWA KWA AJILI YA WATU FULANI


Mhe. Nabii Mkuu Prof. GeorDavie amewataka watu kutambua kwamba kufanikiwa hakuji tu na wala mafanikio hayajawekwa kwa ajili ya watu fulani.

Ameyaema hayo mwishoni mwa wiki {Julai 25, 2026} wakati akifundisha katika mkutano wa akili ya fedha uliofanyika katika ukumbi wa PAPU Tower uliopo Philips jijini Arusha.

Akifundisha Prof. GeorDavie amesema mafanikio hayajawekwa kwa ajili ya watu Fulani ni mtazamo jambo ambalo amesema ni tatizo linawasumbua watu wengi kutokana na Fikra za mambo yaliyopita.


                                                               Habari Na Beatrice Maina

No comments:

Post a Comment