Tuesday, September 19, 2017

IBADA YA CHUO KIKUU CHA MANABII.

Watu mbalimbali wamehudhuria ibada ya chuo cha manabii iliyofanyika katika hema la kukutania kisongo Arusha Tanzania, ambapo watu waliohudhuria wamepokea nguvu ya Mungu kutoka kwa watumishi wa Mungu wanaotumika chini ya Nabii mkuu Mh. Dk. GeorDavie.
Pia katika ibada hiyo Gadinali wa kwanza wa huduma ya Ngurumo ya upako Mtume Gaudensia Luila amewakumbusha watu juu ya kuwasilisha michango yao kwa ajili ya kusapoti GeorDavie Tv.
Katika Ibada hiyo chungaji Rispar Asheri amesema ili uweze kupiga hatua katika maeneo mbalimbali ni lazima uwe mnyenyekevu mbele ya Mungu.
NA HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA IBADA HIYO..








No comments:

Post a Comment