Tuesday, July 18, 2017

MCHUNGAJI FURAHINI: KUWA NA IMANI KUU NA KUMTEGEMEA MUNGU UNAINULIWA KATIKA MAISHA YAKO.

Watu wametakiwa kuwa na Imani kuu huku wakimtegemea Mungu ili waweze kufanikiwa katika maeneo mbalimbali Maishani.  

Hayo yamesemwa na Mchungaji Furahini John wakati akihubiri katika ibada ya chuo cha manabii iliyofanyika hii leo katika hema la kukutania kisongo Arusha ambapo amesema kuwa mtu akimtegemea Mungu katika maisha yake atapata thawabu kubwa sana maishani.






 

Aidha ameongeza kuwa watu wanakiwa kuzidi kuwa na Imani kwani kwa kufanya hivyo kupata majibu kwa wakati ni lazima.
kwa upande wake Mtume Eva Steven katika mahubiri yake amesema kuwa siku zote Mungu anajua ni wapi unaelekea kwani ndiye kiongizi.
Aidha huduma ya ngurumo ya upako ibada za katikati ya wiki ni Jumanne na Alhamisi ambapo watu kutoka maeneo mbalimbali huudhuria katika hema la kukutania kwa ajili ya kupokea uponyaji. 

Habari na Ngurumo ya Upako.

No comments:

Post a Comment